News
Loading...

Tangazo la Masomo ya Utalii na Ukarimu 2017/18




Tangazo la Masomo ya Utalii na Ukarimu 2017/18


Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, anawatangazia Watanzania wote nafasi za Mafunzo ya Ukarimu, Utalii na Uongozaji wa Watalii (Hospitality, Tourism and Tour Guide Operations) kwa ngazi ya Cheti na Diploma yatakayoanza mwezi wa Septemba 2017. Chuo kina Kampasi tatu, Bustani na Temeke kwa Dar es salaam na Kampasi ya Arusha


APPLY HERE
Share on Google Plus

About Sua Cerebrity

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment